Kinaga cha Tangkhul

Kinaga ya Tangkhul ni lugha ya Kisino-Tibeti nchini Uhindi inayozungumzwa na Wanaga. Mwaka wa 2001 idadi ya wasemaji wa Kinaga ya Tangkhul imehesabiwa kuwa watu 142,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kinaga ya Tangkhul iko katika kundi la Kisal.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne