Kings Music | |
---|---|
Imeanzishwa | 2017 |
Mwanzilishi | AliKiba |
Usambazaji wa studio | "KingKiba" |
Aina za muziki | Bongo Flava |
Nchi | Tanzania |
Mahala | Dar es salaam,Tanzania |
Kings Music[1] ni lebo iliyoanzishwa na mwimbaji AliKiba mwanzoni mwa Desemba 2017. Studio hiyo yenye makao yake nchini Tanzania, kabla ya kufunguliwa studio hiyo ya Kings Music ilifanyiwa tangazo maalum na mwanzilishi na wasanii watakaokuwa kwenye lebo hiyo.
{{cite web}}
: Check date values in: |accessdate=
(help)