Kirangi (kwa kilugha Kilangi) ni lugha ya Kibantu nchini Tanzania inayozungumzwa na Warangi. Mwaka wa 2007 idadi ya wasemaji wa Kirangi imehesabiwa kuwa watu 410,0000. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kirangi iko katika kundi la F30.