Kisabaki ni lugha za Kibantu jamii ya Kiswahili zilizopewa jina la Mto Sabaki. Lugha za Kisabaki, mbali ya Kiswahili, zinahusisha Ilwana (Malakote) na Pokomo kwenye Mto Tana nchini Kenya; Mijikenda, inayozungumzwa katika pwani ya Kenya; Kikomoro, katika Visiwa vya Komoro; na Mwani, inayozungumzwa kaskazini mwa Msumbiji[1].
Katika uainishaji wa lugha wa Guthrie, Kiswahili kiko katika eneo la Kibantu G, ambapo lugha nyingine za Kisabaki ziko katika ukanda E70, kwa kawaida chini ya jina Kinyika, kama ifuatavyo:
Kwa kuongeza, kuna krioli na pijini kadhaa za Kiswahili: Cutchi-Swahili, Kiswahili), Kikeya.Kingereza, Sheng, Shaba kiswahili (Katanga Swahili, Lubumbashi Swahili), Ngwana (Congo kiswahili), Kikeya.