Kisiwa cha Juani

Kisiwa cha Juani ni kisiwa kimojawapo cha Wilaya ya Mafia, mkoa wa Pwani, nchini Tanzania, ambacho kinapatikana katika Bahari ya Hindi.

Humo yanapatikana magofu ya Kua.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne