Kisos-Kundi

Kisos-Kundi ni lugha ya Kisepik nchini Papua Guinea Mpya inayozungumzwa na Wasos-Kundi. Mwaka wa 2000 idadi ya wasemaji wa Kisos-Kundi imehesabiwa kuwa watu 2850. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kisos-Kundi iko katika kundi la Kindu.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne