Kisuke

Kisuke ni kata ya Wilaya ya Ushetu katika Mkoa wa Shinyanga, Tanzania.

Hadi mwaka 2015 kata ya Kisuke ilikuwa inajumuisha vijiji zaidi ya 12 ambavyo ni: Kisuke, Kalaba, Nyamilangano, Bukomela, Nussa, Ngokolo, Mitonga, Mapamba, Kawekunelela, Itumbo, Kalaba na Ipilinga.

Baada ya hapo kata hiyo kubwa iligawanywa na kutengeneza kata nne yaani: Kisuke, Nyamilangano, Bukomela na Mapamba. Kata ya Kisuke imebaki na vijiji vinne tu: Kisuke (makao makuu ya kata), Itumbo, Kalaba na Ipilinga.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne