Kitabu cha Amosi

Nabii Amosi kadiri ya Gustave Doré.

Kitabu cha Amosi ni kimojawapo kati ya vitabu vya Tanakh (yaani Biblia ya Kiebrania), na kwa hiyo pia ya Agano la Kale, sehemu ya kwanza ya Biblia ya Kikristo.

Kama vitabu vingine vyote vya Biblia, hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa historia ya wokovu ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya ufunuo wa Mungu kwa binadamu.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne