Kitabu cha Nahumu

Nabii Nahumu katika picha ya Waorthodoksi ya karne XVIII.

Kitabu cha Nahumu (kwa Kiebrania נחום, Nahum) ni kimojawapo kati ya vitabu 12 vya gombo la Manabii wadogo katika Tanakh (yaani Biblia ya Kiebrania) na kwa hiyo pia katika Agano la Kale katika Biblia ya Kikristo.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne