Kitabu cha Nehemia

Gustave Doré, Nehemia Akikagua Magofu ya Ngome ya Yerusalemu, 1866.

Kitabu cha Nehemia ni kimoja kati ya vitabu vya Tanakh (yaani Biblia ya Kiebrania) na hivyo pia vya Agano la Kale katika Biblia ya Kikristo.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne