Kitabu cha Yoeli

Nabii Yoeli alivyochorwa na Michelangelo kwenye dari ya Kikanisa cha Sisto IV (15081512).

Kitabu cha Yoeli ni kimojawapo kati ya vitabu 12 vya Manabii wadogo ambavyo, pamoja na vingine vingi, vinaunda Tanakh.

Hivyo ni pia sehemu ya Agano la Kale katika Biblia ya Kikristo.

Kama vitabu vingine vyote vya Biblia, hiki pia kinatakiwa kisomwe katika mfululizo wa historia ya wokovu ili kukielewa kadiri ya maendeleo ya ufunuo wa Mungu kwa binadamu.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne