Kiwaneci

Kiwaneci ni lugha ya Kihindi-Kiulaya nchini Pakistan inayozungumzwa na Wawaneci. Mwaka wa 2004 idadi ya wasemaji wa Kiwaneci imehesabiwa kuwa watu 108,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kiwaneci kiko katika kundi la Kipashto.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne