Kodivaa

Jamhuri ya Kodivaa
République de Côte d'Ivoire (Kifaransa)
Kaulimbiu:
Union – Discipline – Travail (Kifaransa)
"Umoja– Nidhamu – Kazi"
Wimbo wa taifa: L'Abidjanaise
"Wimbo wa Abidjan"
Mahali pa Kodivaa
Ramani ya Kodivaa
Mji mkuuYamoussoukro
6°51′ N 5°18′ W
Mji mkubwaAbidjan
5°20′ N 4°1′ W
Lugha rasmiKifaransa
SerikaliJamhuri
 • Rais
Alassane Ouattara
Patrick Achi
Historia
 • Kuasisi kwa jamhuri
4 Desemba 1958
 • Uhuru kutoka Ufaransa
7 Agosti 1960
Eneo
 • Jumlakm2 322 463 (ya 67)
 • Maji (asilimia)1.4
Idadi ya watu
 • Kadirio la 202329 344 847
 • Sensa ya 201422 671 331
 • Msongamano91.1/km2
SarafuFaranga ya CFA
Majira ya saaUTC+0 (GMT)
Msimbo wa simu+225
Jina la kikoa.ci
Abidjan ni mji mkubwa na muhimu zaidi kiuchumi wa Ivory Coast .

Kodivaa[1] (kwa Kifaransa: Côte d'Ivoire[tanbihi 1]; kwa Kiingereza: Ivory Coast) ni nchi ya Afrika ya Magharibi. Imepakana na Liberia na Guinea upande wa magharibi, Mali na Burkina Faso kaskazini, Ghana mashariki na Ghuba ya Guinea ya Atlantiki upande wa kusini.

  1. TUKI. Kamusi ya Kiswahili Sanifu (tol. la 4). uk. 784.


Hitilafu ya kutaja: <ref> tags exist for a group named "tanbihi", but no corresponding <references group="tanbihi"/> tag was found


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne