Kosma I wa Aleksandria

Kosma I wa Aleksandria (alifariki 28 Mei 730) kuanzia mwaka 729 hadi kifo chake alikuwa Patriarki wa 44 wa Aleksandria (Misri).

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu[1].

  1. "Lives of Saints :: Paona 3". www.copticchurch.net. Iliwekwa mnamo 2018-03-14.

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne