Kumi (namba)

Kumi ni namba inayoandikwa 10 kwa tarakimu za kawaida lakini X kwa zile za Kirumi na ١٠ kwa zile za Kiarabu. Inafuata 9 na kutangulia 11.

Vigawo vyake vya namba tasa ni: 2 x 5.

Namba kumi ni msingi wa mahesabu mengi, kutokana na idadi ya vidole vya mikono ya binadamu.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne