| |||||
Kaulimbiu ya taifa: none | |||||
Wimbo wa taifa: Ύμνος εις την Ελευθερίαν imnos is tin eleftherian Utenzi wa uhuru1 | |||||
![]() | |||||
Mji mkuu | Nikosia | ||||
Mji mkubwa nchini | Nikosia | ||||
Lugha rasmi | Kigiriki, Kituruki | ||||
Serikali | Jamhuri Nicos Christodoulides | ||||
Uhuru Tarehe |
16 Agosti 1960 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
9,251 km² (ya 162) 9 | ||||
Idadi ya watu - 2021 kadirio - 2011 sensa - Msongamano wa watu |
1,244,188 (ya 158) 838,897 123.4/km² (ya 82) | ||||
Fedha | Cyprus Pound (CYP )
| ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
EET (UTC+2) EEST (UTC+3) | ||||
Intaneti TLD | .cy3 | ||||
Kodi ya simu | +357
- | ||||
1 Sawa na wimbo la taifa la Ugiriki |
Kupro (pia: Kipro, Kuprosi, na hata Saiprasi kutoka Kiingereza Cyprus) ni nchi ya kisiwani upande wa mashariki wa bahari ya Mediteranea.
Kijiografia ni sehemu ya Asia, lakini kiutamaduni na kisiasa ni sehemu ya Ulaya.