Leokadia wa Toledo

Mt. Leokadia alivyochorwa.

Leokadia wa Toledo (Toledo, Hispania, karne ya 3 - Toledo, 9 Desemba 304) alikuwa bikira Mkristo aliyeuawa katika dhuluma ya kaisari Dioklesyano akiacha ushuhuda maarufu wa imani yake kwa Yesu [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 9 Desemba[2].

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/80810
  2. Martyrologium Romanum

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne