Liisa Kauppinen

Liisa Kauppinen (alizaliwa Nurmo, Ufini, 12 Mei 1939) ni mwanaharakati wa haki za binadamu wa Ufini [1] ambaye alipoteza usikivu wake alipokuwa mtoto.

Baada ya kuhudumu kama mkurugenzi mkuu wa chama cha viziwi cha Finland, mwaka 1995 akawa mwanamke wa kwanza kuteuliwa kuwa Rais wa shirikisho la viziwi ulimwenguni.

  1. "Liisa Kauppinen", Wikipedia (kwa Kiingereza), 2023-10-07, iliwekwa mnamo 2024-07-30

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne