Lil Wayne | |
---|---|
![]() Lil Wayne mnamo 2011
| |
Maelezo ya awali | |
Amezaliwa | 27 Septemba 1982 |
Asili yake | New Orleans, Louisiana, United States |
Aina ya muziki | Hip hop |
Kazi yake | Rapa, Mwigizaji, CEO, Msanifu |
Ala | Sauti |
Miaka ya kazi | 1993–mpaka sasa |
Studio | Cash Money, Young Money, Universal |
Ame/Wameshirikiana na | Hot Boys, Birdman, T-Pain, Drake, Young Money, Kanye West, Young Jeezy, DJ Khaled, Mack Maine, Rick Ross |
Tovuti | www.lilwayne-online.com |
Dwayne Michael Carter, Jr. (anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Lil Wayne; amezaliwa 27 Septemba 1982) ni mshindi wa Tuzo za Grammy - akiwa kama rapa wa muziki wa hip hop bora kutoka nchini Marekani.
Alijiunga na studio ya Cash Money Records akiwa bado yungali bwana mdogo na akabahatika kufanya rekodi kadhaa katika studio hiyo. Wayne alikuwa mmoja kati ya waliokuwa wanachama wa kikundi cha muziki wa rap cha Hot Boys.