Lil Wayne

Lil Wayne
Lil Wayne mnamo 2011
Lil Wayne mnamo 2011
Maelezo ya awali
Amezaliwa 27 Septemba 1982 (1982-09-27) (umri 42)
Asili yake New Orleans, Louisiana, United States
Aina ya muziki Hip hop
Kazi yake Rapa, Mwigizaji, CEO, Msanifu
Ala Sauti
Miaka ya kazi 1993–mpaka sasa
Studio Cash Money, Young Money, Universal
Ame/Wameshirikiana na Hot Boys, Birdman, T-Pain, Drake, Young Money, Kanye West, Young Jeezy, DJ Khaled, Mack Maine, Rick Ross
Tovuti www.lilwayne-online.com


Dwayne Michael Carter, Jr. (anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Lil Wayne; amezaliwa 27 Septemba 1982) ni mshindi wa Tuzo za Grammy - akiwa kama rapa wa muziki wa hip hop bora kutoka nchini Marekani.

Alijiunga na studio ya Cash Money Records akiwa bado yungali bwana mdogo na akabahatika kufanya rekodi kadhaa katika studio hiyo. Wayne alikuwa mmoja kati ya waliokuwa wanachama wa kikundi cha muziki wa rap cha Hot Boys.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne