Limpopo

Limpopo, South Afrika
Limpopo
Eneo 123,900 km²
Wakazi(2001) 5,273,637
Lugha Sepedi, Venda, Tsonga
Wakazi kimbari Waafrika Weusi(97.3%)
Wazungu(2.4%)
Chotara(0.2%)
Wenye asili ya Asia (0.1%)
Mji Mkuu Polokwane
Waziri Mkuu Sello Moloto
(ANC)
Mahali pa Limpopo

Limpopo ni jimbo la kaskazini kabisa la Afrika Kusini. Mji mkuu ni Polokwane (zamani Pietersburg). Jimbo liliundwa kutokana na sehemu ya kaskazini ya jimbo la Transvaal ya awali na maeneo ya bantustan Venda na Lebowa.

Jina limetokana na mto Transvaal ambao ni mpaka wa jimbo na nchi jirani ya Zimbabwe.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne