Linux

Linux

Linux (au GNU/Linux) ni mfumo wa uendeshaji wa Unix kwa kompyuta.

Mfumo wa uendeshaji ni mkusanyiko wa maelekezo ya msingi ambayo hudhibiti sehemu za umeme za kompyuta zinazoiruhusu mipango ya programu inayoendesha.

Linux ni programu ya bure. Programu ya bure ina maana kwamba kila mtu ana uhuru wa kuitumia, kuangalia jinsi inavyofanya kazi, kuibadili au kuisambaza.

Kuna programu nyingi kwa ajili ya Linux na kwa sababu Linux yenyewe ni ya bure, pia programu nyingi za Linux ni programu za bure. Hii ni sababu mojawapo ambayo watu wengi wanapenda kutumia Linux.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne