Lisbon | |||
| |||
Majiranukta: 38°42′00″N 09°08′00″E / 38.70000°N 9.13333°E | |||
Nchi | Ureno | ||
---|---|---|---|
Mkoa | Mkoa wa Lisbon | ||
Idadi ya wakazi | |||
- Wakazi kwa ujumla | 564,477 | ||
Tovuti: http://www.cm-lisboa.pt/ |
Lisbona (kwa Kireno: Lisboa) ni mji mkuu wa Ureno, pia mji mkubwa wa nchi wenye wakazi 560,000; pamoja na rundiko la mji ni milioni mbili.
Mji uko kando ya mto Tejo kwenye kona ya kusini-magharibi ya Ulaya mwambaoni kwa Atlantiki.