Lombardia

Muonekano wa mkoa wa Lombardia ulioko ndani ya mji wa Milano
Bendera ya Lombardia.
Bendera ya Lombardia.
Mahali pa Lombardia katika Italia

Lombardia ni mkoa wa Italia. Ndio mkoa wenye watu wengi zaidi.

Unaongoza kwa utajiri kati ya mikoa yote ya Ulaya.

Mji mkuu wake ni Milano.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne