Los Angeles







Jiji la Los Angeles

Bendera
Nchi Marekani
Jimbo California
Wilaya Los Angeles
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 3,849,378
Tovuti:  www.lacity.org
L.A. mjini usiku
Kitovu cha L.A.
Ramani ya Los Angeles

Los Angeles (mara nyingi kifupi L.A.) ni mji wa Kalifornia ya kusini. Ni mji mkubwa kuliko yote ya Kalifornia na mji mkubwa wa pili wa Marekani mwenye wakazi 3,847,400 mjini penyewe na hadi milioni 18 katika rundiko la mji. Mji uko kando la Pasifiki katika tambarare kati ya bahari na milima.

Mtaa maarufu mjini Los Angeles ni eneo la Hollywood.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne