Louis Leipoldt

Dr. Christian Frederik Louis Leipoldt (28 Desemba 1880 - 12 Aprili 1947) alikuwa mwandishi, daktari na mkaguzi wa shule kutoka Afrika Kusini. Aliandika mashairi mengi ya Kiafrikaans pamoja na maandishi ya habari na kuhusu tiba.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne