Lucky Dube

Lucky Dube
Jina la kuzaliwa Lucky Philip Dube
Amezaliwa (1964-08-03)Agosti 3, 1964
Ermelo, Transvaal
(now Mpumalanga), Afrika Kusini
Amekufa 18 Oktoba 2007 (umri 43)
Rosettenville, Johannesburg
Gauteng, South Africa
Aina ya muziki reggae, mbaqanga
Kazi yake Mwanamuziki
Ala Sauti, Kinanda
Miaka ya kazi 1982 - 2008
Studio Rycodisc, Gallo Record Company
Ame/Wameshirikiana na The Love Brothers
Tovuti Official website

Lucky Philip Dube (tamka doo-bei) [1] (3 Agosti 1964 - 18 Oktoba 2007) alikuwa mwanamuziki wa reggae kutoka Afrika Kusini. Alirekodi albamu 22 katika lugha ya Kizulu, Kiingereza na Kiafrikaans katika kipindi cha miaka 25 na alikuwa mwanamuziki wa Reggae kutoka Afrika Kusini ambaye aliuza albamu nyingi kabisa. [2] [3] Dube aliuawa katika kitongoji cha Rosettenville huko Johannesburg jioni ya 18 Oktoba, mwaka 2007. [3] [4] [5]

  1. Fun Facts, luckydubemusic.com, ilitolewa tarehe 19 Oktoba 2007
  2. [2] ^ Five facts about raggae star Lucky Dube, Reuters, tarehe 19 Oktoba 2007
  3. 3.0 3.1 [3] ^ S. Africa reggae icon shot and killed - radio, Ilihifadhiwa 21 Oktoba 2007 kwenye Wayback Machine. Reuters, tarehe 19 Oktoba 2007.
  4. Hijackers gun down Lucky Dube, Ilihifadhiwa 28 Oktoba 2007 kwenye Wayback Machine. News24.com, tarehe 19 Oktoba 2007
  5. S African reggae star shot dead, BBC News, tarehe 19 Oktoba 2007

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne