Ludwig Krapf

Ludwig Krapf

Amezaliwa Januari 1810
Tübingen, Ujerumani
Amekufa 26 Novemba 1881
Korntal, Germany
Nchi Ujerumani
Anafahamika kwa Alitafsiri Bibilia kwa Kiswahili
Kazi yake Mmissionari
Ukurasa wa kwanza wa tafsiri ya Biblia kwa Kiswahili ya Krapf ilivyochapishwa katika jarida la kitaalamu la Marekani mwaka 1849.

Johann Ludwig Krapf (11 Januari 181026 Novemba 1881) alikuwa mmisionari wa kwanza wa Uprotestanti nchini Kenya katika karne ya 19 akatunga kamusi ya kwanza ya lugha ya Kiswahili.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne