Mac Cairthinn wa Clogher

Mt. Mac Cairthinn na Tigernach wa Clones katika dirisha la kioo cha rangi.

Mac Cairthinn wa Clogher (pia: Aedh, Aidus, McCartan, Macartan; alifariki 506) alikuwa askofu wa kwanza wa Clogher, Eire kuanzia mwaka 454[1].

Inasemekana aliongokea Ukristo kwa juhudi za Patrick wa Ireland.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 24 Machi[2].

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/46670
  2. Martyrologium Romanum

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne