Mahdi Abu-Omar

Mahdi Muhammad Abu-Omar (alizaliwa Yerusalemu, 18 Oktoba 1970) ni mtaalamu wa kemia kutoka Palestina na Marekani, ambaye kwa sasa ni Profesa wa Kemia ya Kijani katika Idara za Kemia na Biokemia pamoja na Uhandisi wa Kemikali katika Chuo Kikuu cha Santa Barbara Califonia. [1][2]

  1. "Mahdi Abu-Omar". ucsb.edu. Iliwekwa mnamo Machi 2, 2017.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. "The Mellichamp Endowed Chairs in Sustainability | Duncan and Suzanne Mellichamp Academic Initiative in Sustainability". sustech.ucsb.edu (kwa Kiingereza). Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2017-08-08. Iliwekwa mnamo 2017-08-07.

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne