Malcolm X

Malcolm X
Malcolm X in March 1964
Malcolm X mnamo Machi 1964
AmezaliwaMalcolm Little
(1925-05-19)Mei 19, 1925
AmekufaFebruari 21, 1965 (umri 39)
Manhattan, New York
Sababu ya kifoKauawa kwa risasi
Majina mengineel-Hajj Malik el-Shabazz
(الحاجّ مالك الشباز)
Kazi yakeMinister, activist
AsasiNation of Islam,
Muslim Mosque, Inc.,
Organization of Afro-American Unity
NdoaBetty Shabazz (m. 1958–present) «start: (1958)»"Marriage: Betty Shabazz to Malcolm X" Location: (linkback://sw.wikipedia.orgview_html.php?sq=Google&lang=sw&q=Malcolm_X)
WatotoAttallah Shabazz
Qubilah Shabazz
Ilyasah Shabazz
Gamilah Lumumba Shabazz
Malikah Shabazz
Malaak Shabazz
WazaziEarl Little
Louise Helen Norton Little
Saini[[File:{{{signature}}}|150px|alt=]]

Malcolm X (jina lake la awali lilikuwa Malcolm Stuart Little; baadaye alifahamika kama Hajj Malik; 19 Mei 1925 - 21 Februari 1965) alikuwa mwanaharakati wa Haki za binadamu za Waafrika-Waamerika na haki za kiraia kwa jumla

Malcolm katika kipindi chote cha ukuaji wake aliishi kwa ndugu baada ya kifo cha baba yake na mama yake kwenda kuishi hospitali kutokana na maradhi yaliyokuwa yakimsumbua.

Alijihusisha na shughuli za uhalifu katika maisha yake ya awali na kuhukumiwa kifungo cha miaka 10 gerezani mwaka 1946 kwa makosa ya uvunjaji na wizi. Akiwa gerezani alijiunga na Taifa la Uislamu na hapo ndipo alipojipachika jina Malcolm X akimaanisha jina lake la Kiafrika ambalo hakupatiwa kutokana na athari za utumwa. Baada ya kuachiwa toka gerezani mwaka wa 1952 kwa kuonesha tabia njema, kwa haraka sana alipata kuwa mtu mashuhuri ndani ya Taifa la Uislamu.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne