Jimbo | |||
---|---|---|---|
![]() |
![]() |
||
Kauli Mbiu Ense petit placidam sub libertate quietem (Latin) Kwa upanga tunatafuta amani, lakini amani chini ya uhuru tu.(sw) |
|||
Wimbo wa taifa "All Hail to Massachusetts" |
|||
![]() | |||
Nchi | Marekani | ||
Mwaka wa Kujiunga | February 6, 1788 (6th) | ||
Jiji kubwa (na mji mkuu) |
Boston | ||
Lugha Rasmi | Kiingereza | ||
Lugha Zinazozungumzwa | Kiingereza 75.00% Kihispania 9.55% Kireno 3.43% |
||
Utaifa | Mmassachusetts | ||
Serikali | |||
Gavana | Maura Healey (D) | ||
Naibu Gavana | Kim Driscoll (D) | ||
Eneo | |||
Jumla | 27363 km² | ||
Ardhi | 20202 km² | ||
Maji | 7032 (25.70%) | ||
Idadi ya Watu | |||
Kadirio | ![]()
| ||
Pato la Taifa (2024) | |||
Jumla | ![]() |
||
Kwa kila mtu | ![]() |
||
Kiashiria cha Maendeleo ya Watu (2022) |
0.956 (1) Maendeleo ya Juu Sana |
||
Mapato ya Kati ya Kaya (2024) |
99,900 (1) | ||
Eneo la saa | UTC−05:00 (Eastern) | ||
Tovuti 🔗mass.gov |
Massachusetts ni jimbo (commonwealth) la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Mji mkuu na mji mkubwa wa jimbo ni Boston. Kwa miji mingine, angalia orodha ya miji. Idadi ya wakazi wa jimbo lote hufikia watu 6,497,967 (2007) wanaokalia eneo la 27,336 km² ambalo ni hasa milima na jangwa. Imepakana na Vermont, New Hampshire, Rhode Island, Connecticut, na New York. Upande wa mashariki maji ya Atlantiki.
Ilikuwa moja ya koloni 13 asilia za Uingereza zilizoasi dhidi ya nchi mama tangu mwaka 1776 na kuanzisha Maungano ya Madola ya Amerika.