Mbofu

Mbofu
Mbofu wa Malawi (Bagrus meridionalis)
Mbofu wa Malawi (Bagrus meridionalis)
Uainishaji wa kisayansi
Himaya: Animalia (Wanyama)
Faila: Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Nusufaila: Vertebrata (Wanyama wenye uti wa mgongo)
Ngeli: Actinopterygii (Samaki walio na mapezi yenye tindi)
Oda: Siluriformes (Samaki kama kambale)
Familia: Bagridae (Samaki walio na mnasaba na mbofu)
Bleeker, 1858
Jenasi: Bagrus
Bosc, 1816
Ngazi za chini

Spishi 11:

Mbofu au mbuvu ni samaki wa maji baridi wa jenasi Bagrus katika familia Bagridae na oda Siluriformes ambao wanatokea Afrika tu. Bagrus tucumanus ameelezwa kutoka Argentina lakini huenda jina hili ni kisawe cha Luciopimelodus pati.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne