Mbofu
|

Mbofu wa Malawi (Bagrus meridionalis)
|
Uainishaji wa kisayansi
|
|
Ngazi za chini
|
Spishi 11:
- B. bajad (Peter ForsskållForsskål, 1775)
- B. caeruleus Tyson R. Roberts & Stewart, 1976
- B. degeni Boulenger, 1906
- B. docmak (Forsskål, 1775)
- B. filamentosus Pellegrin, 1924
- B. lubosicus Lönnberg, 1924
- B. meridionalis Günther, 1894
- B. orientalis Boulenger, 1902
- B. tucumanus Burmeister, 1861
- B. ubangensis Boulenger, 1902
- B. urostigma Vinciguerra, 1895
|
Mbofu au mbuvu ni samaki wa maji baridi wa jenasi Bagrus katika familia Bagridae na oda Siluriformes ambao wanatokea Afrika tu. Bagrus tucumanus ameelezwa kutoka Argentina lakini huenda jina hili ni kisawe cha Luciopimelodus pati.