Mchungaji mwema

Kristo kama Mchungaji mwema katika karne ya 3 [1].
Mchungaji mwema, 300350 hivi, katika Mahandaki ya Domitila, Roma.
Mfululizo wa kurasa juu ya Yesu
Yesu
Yesu Kristo na Ukristo

Umwilisho  • Utoto wa Yesu  • Ubatizo
Arusi ya Kana • Utume wa Yesu • Mifano ya Yesu  • Miujiza ya Yesu
Kugeuka sura • Karamu ya mwisho • Msalaba wa Yesu  • Maneno saba
Kifo cha Yesu  • Ufufuko wa Yesu
Kupaa mbinguni  • Ujio wa pili
Injili  • Majina ya Yesu katika Agano Jipya  • Yesu kadiri ya historia  • Tarehe za maisha ya Yesu • Kristolojia

Mazingira ya Yesu

Wayahudi • Kiaramu • Bikira Maria • Yosefu (mume wa Maria) • Familia takatifu • Ukoo wa Yesu • Ndugu wa Yesu • Yohane Mbatizaji

Mitazamo juu ya Yesu

Mitazamo katika Agano Jipya · Mitazamo ya Kikristo • Mitazamo ya Kiyahudi • Mitazamo ya Kiislamu • Yesu katika sanaa

Mchungaji mwema (kwa Kigiriki: ποιμήν ο καλός, poimḗn o kalós) ni namna mojawapo ya Yesu kuwaeleza wafuasi wake yeye ni nani kwao. Ufafanuzi wake unapatikana katika Yoh 10:1-21, anapojitofautisha na wachungaji (yaani viongozi) wabaya, kwa kusema yeye yuko tayari kutoa uhai wake kwa ajili ya kondoo (watu) wake[2].

Lugha hiyo inategemea Zaburi 23 na sehemu nyingine ya Agano la Kale. Pia inatumika katika Injili nyingine, Waraka kwa Waebrania, Waraka wa kwanza wa Petro na kitabu cha Ufunuo][3].

Mfano huo uligusa sana Wakristo na kuchochea usanii wao tangu mwanzo.

  1. "The figure (...) is an allegory of Christ as the shepherd" Andre Grabard, "Christian iconography, a study of its origins", ISBN 0-691-01830-8
  2. I am the good shepherd. The good shepherd lays down his life for the sheep. He who is a hired hand, and not a shepherd, who doesn't own the sheep, sees the wolf coming, leaves the sheep, and flees. The wolf snatches the sheep, and scatters them. The hired hand flees because he is a hired hand, and doesn't care for the sheep. I am the good shepherd. I know my own, and I'm known by my own; even as the Father knows me, and I know the Father. I lay down my life for the sheep. I have other sheep, which are not of this fold. I must bring them also, and they will hear my voice. They will become one flock with one shepherd. Therefore the Father loves me, because I lay down my life, that I may take it again. No one takes it away from me, but I lay it down by myself. I have power to lay it down, and I have power to take it again. I received this commandment from my Father.
  3. Jesus Christ is also compared to a shepherd in Matthew 2:6, 9:36, 25:32 and 26:31; Mark 6:34 and 14:27 Hebrews 13:20: 1Peter 2:25 and 5:4; Revelation 7:17.

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne