Metali (kutoka Kiingereza metal) ni kundi la elementi zenye tabia za pamoja kama vile
Kikemia tabia hizo zote zinatokana na muungo metali ya elementi hizo. Kinyume chake simetali kwa kawaida ni kechu kama mangu, hazing'ai na zinahami (hazipitishi umeme).
Idadi kubwa ya elementi katika mfumo radidia huhesabiwa kati ya metali. Kuna pia elementi zinazoonyesha tabia za kati ya metali na simetali kama vile metaloidi au nusumetali.
Mifano ya metali ni