Milki ya Wamongolia

Upanuzi wa Milki ya Mongolia

Milki ya Wamongolia ilikuwa eneo lililotawaliwa na (khans) wa Mongolia kuu kunako karne ya 13 na 14. Hili lilikuwa moja kati ya milki kubwa sana katika historia ya umiliki wa ardhi.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne