Mkoa wa Kati (Kifar. Region Centrale) ni mojawapo ya mikoa mitano nchini Togo katika Afrika Magharibi. Makao makuu yapo mjini Sokode.
Mkoa wa Kati ndio eneo lenye watu wachache zaidi nchini Togo lenye jumla ya watu 617,871 kulingana na sensa iliyofanyika mwaka wa 2010. [1]
Miji mingine katika eneo la Mkoa wa Kati ni pamoja na Tchamba na Sotouboua .
Mkoa wa Kate umegawanywa katika wilaya za Blitta, [2] Sotouboua, Tchamba, Tchaoudjo na wilaya ndogo (subprefecture) Mö.
Mkoa wa Kati uko kaskazini mwa Mkoa wa Plateaux na kusini mwa Mkoa wa Kara. Kama maeneo mengine ya Togo, inapakana na Ghana upande wa magharibi na Benin upande wa mashariki.
{{cite web}}
: CS1 maint: date auto-translated (link)
{{cite web}}
: CS1 maint: date auto-translated (link)