| ||
Makao Makuu | Nyeri | |
’‘‘Mji Mkubwa’’’ | Nyeri | |
Eneo - Jumla |
Nafasi ya 5 kati ya mikoa ya Kenya 13,191 km² | |
Wakazi - Jumla (2007) - Msongamano wa watu / km² |
Nafasi ya 4 kati ya mikoa ya Kenya 4,145,000 313 /km² | |
Lugha mkoani | Kikuyu Kiembu Kimeru | |
Mkoa wa Kati (Central Province) ni mkoa wa Kenya unaoenea kati ya Mlima Kenya, Nairobi na Nyahururu. Eneo lake si kubwa lakini kuna msongamano mkubwa wa watu kulingana na mikoa ya jirani kwa sababu ya hali ya hewa na rutba ya ardhi inayolisha watu wengi. Nairobi iko nje ya mkoa.