Mkoa wa Kati (Kenya)

Mikoa ya Kenya
Mkoa wa Kati
Central Province
Mahali pa Mkoa wa Kati
Makao Makuu Nyeri
’‘‘Mji Mkubwa’’’ Nyeri
Eneo

- Jumla
Nafasi ya 5 kati ya mikoa ya Kenya
13,191 km²
Wakazi


 - Jumla (2007)  - Msongamano wa watu / km²
Nafasi ya 4 kati ya mikoa ya Kenya
4,145,000
313 /km²
Lugha mkoani Kikuyu
Kiembu
Kimeru
Mahali pa Mkoa wa Kati katika Kenya

Mkoa wa Kati (Central Province) ni mkoa wa Kenya unaoenea kati ya Mlima Kenya, Nairobi na Nyahururu. Eneo lake si kubwa lakini kuna msongamano mkubwa wa watu kulingana na mikoa ya jirani kwa sababu ya hali ya hewa na rutba ya ardhi inayolisha watu wengi. Nairobi iko nje ya mkoa.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne