Mkoa wa Kati (kwa Kiingereza: Central Region) ni kati ya mikoa minne ya Uganda na eneo lake ni sawa na Ufalme wa Buganda.
Kwa sasa unaundwa na wilaya 24[1].
Makao makuu yako Kampala.
Wakazi ni 9,529,227.
{{cite web}}
: CS1 maint: date auto-translated (link)