Mkoa wa Ruyigi

Mahali pa Mkoa wa Ruyigi katika Burundi

Mkoa wa Ruyigi ni moja kati ya mikoa ya Burundi. Jumla ya wakazi ilikuwa 370,000 mwaka 2007. Eneo lake ni la 2,339 km².

Mji mkuu ni Ruyigi.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne