Mkoa wa Tokat

Mkoa wa Tokat
Maeneo ya Mkoa wa Tokat nchini Uturuki
Maelezo
Kanda: Kanda ya Bahari Nyeusi
Eneo: 9959 (km²)
Idadi ya Wakazi 869422 (makadirio 2006) TUIK 2007 (est)
Kodi ya Leseni: 60
Kodi ya eneo: 0356
Tovuti ya Gavana http://www.tokat.gov.tr
Utabiri wa hali ya hewa turkeyforecast.com/weather/tokat


Tokat ni jina la mkoa uliopo mjini kaskazini mwa nchi ya Uturuki. Mkoa unapakana karibu kabisa na mikoa ya jirani kama vile Amasya kwa upande wa kaskazini-magharibi, Yozgat upande wa kusini-magharibi, Sivas kwa upande wa kusini-mashariki, na Ordu kwa upande wa kaskazini-mashariki. Mji mkuu wake ni Tokat, ambao umelalia katika kwenye eneo la Kanda ya Bahari Nyeusi, takriban kilomita 422 kutoka mjini Ankara.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne