Monie Love

Monie Love
Jina la kuzaliwa Simone Gooden
Pia anajulikana kama Monie Love
Amezaliwa 2 Julai 1970 (1970-07-02) (umri 54)
Asili yake London, England
Aina ya muziki Hip hop
BritHop
New jack swing
Kazi yake Rapa, mwimbaji wa hip hop
Miaka ya kazi 1989–hadi sasa
Studio Warner Bros. Records
Cooltempo/Chrysalis/EMI Records
Tuff Groove
Ame/Wameshirikiana na Native Tongues
Dave Angel

Simone Gooden (anafahamika zaidi kwa jina lake la kisanii kama Monie Love; amezaliwa 2 Julai 1970) ni emcee kutoka nchini Uingereza na mtangazaji wa redio wa zamani huko nchini Marekani.

Alikuwa mtu aliyeheshimiwa sana katika hip hop ya Kiingereza, na kuleta mgongano/athira kubwa na wasaili/maemcee wengine wa kike wa Kimarekani kama vile Queen Latifah, vilevile kupitia uanchama wake na baadhi ya makundi mwishoni mwa miaka ya 1980/mwanzoni mwa miaka ya 1990 - Native Tongues. Love alikuwa miongoni mwa wasanii wa kwanza wa BritHop kuingia mkataba na kusambaziwa kazi zake dunia nzima na mastudio makubwakubwa duniani.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne