Montevideo

Jiji la Montevideo
Nchi Uruguay
Mji wa Montevideo.
Montevideo

Montevideo ni mji mkuu wa Uruguay na mji mkubwa nchini. Uko kwenye mdomo mpana wa mto Rio de la Plata. Karibu nusu ya watu wote wa Uruguay hukaa jijini; milioni 1.35 mjini wenyewe na milioni 1.9 katika rundiko la jiji.

Jina "Montevideo" linamaanisha "Naona mlima".


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne