Jiji la Montevideo | |
Nchi | Uruguay |
---|
Montevideo ni mji mkuu wa Uruguay na mji mkubwa nchini. Uko kwenye mdomo mpana wa mto Rio de la Plata. Karibu nusu ya watu wote wa Uruguay hukaa jijini; milioni 1.35 mjini wenyewe na milioni 1.9 katika rundiko la jiji.
Jina "Montevideo" linamaanisha "Naona mlima".