Montreal





Montréal

Bendera
Montréal is located in Kanada
Montréal
Montréal

Mahali pa mji wa Montral katika Kanada

Majiranukta: 45°30′00″N 73°40′00″W / 45.50000°N 73.66667°W / 45.50000; -73.66667
Nchi Kanada
Mkoa Quebec
Wilaya Montreal
Idadi ya wakazi
 - Wakazi kwa ujumla 1,620,693
Tovuti:  http://ville.montreal.qc.ca/
Mji wa Montreal, Canada

Montreal (inaandikwa Montréal kwa Kifaransa) ni mji katika nchi ya Kanada. Ni mji mkubwa wa mkoa wa Quebec na pia wa pili kwa ukubwa katika Kanada nzima. Kuna wakazi zaidi ya milioni nne wanaoishi katika rundiko la mji huo.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne