Mto Kiwira

Daraja la Mungu kwenye mto Kiwira.

Mto Kiwira ni kati ya mito ya mkoa wa Songwe (Tanzania Kusini Magharibi) ambayo maji yake yanaishia katika bahari Hindi kupitia Ziwa Nyasa na mto Zambezi.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne