Mitume wa Yesu |
---|
|
Filipo (kwa Kigiriki Φίλιππος, Philippos) ni jina la mfuasi wa Yesu Kristo anayeshika nafasi ya tano katika orodha zote nne za Mitume wa Yesu katika Agano Jipya.
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu na Kanisa Katoliki na madhehebu mengine yote ya Ukristo yanayokubali heshima hiyo, lakini kwa tarehe tofauti. Kwa Wakatoliki ni tarehe 3 Mei[1]