Muhindi (mhindi) (Zea mays subsp. mays) | ||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
![]() | ||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||
|
Muhindi (pia: mhindi) ni mmea wa familia ya nyasi katika ngeli ya monokotiledoni. Mbegu za mhindi ni mahindi ambayo ni chakula muhimu katika sehemu nyingi za dunia pamoja na Afrika ya Mashariki na Afrika ya Kusini.