Mwanasheria Mkuu ni mtaalamu wa sheria mwenye kazi ya kushauri serikali au mahakama katika utekelezaji wa majukumu yake.
Nafasi hii inapatikana katika nchi mbalimbali hasa kama zinazothiriwa na haki ya Uingereza yaani katika koloni zake za zamani.
Anaweza kuchaguliwa na bunge, na rais au kamati za pekee.