Kutoka picha ya kichwa (1-3) kwa alama ya kikabari (4) iliyorahisishwa zaidi katika mwendo wa karne kumaanisha tu sauti ya "sag"Maendeleo ya mwandiko wa kikabari safu 1: picha asilia; safu 2: mwandiko uliorahisishwa wakati wa Hammurabi; safu 3: wakati wa Ashuri; safu 4: wakati wa Babeli Mpya mnamo 600 KK; safu 5: maelezo ya picha asilia na maana ya silabi iliyopatikana baadaye