Mzigo

Mzigo ni kitu chochote ambacho kinafungwa na kubebwa.

Kutokana na maana hiyo asili, neno linaweza kumaanisha jambo ambalo linatatiza au kukwaza, au mtu ambaye hashauriki wala kuambilika, hivyo amekuwa tatizo kwa jamii yake.


From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne