Nairobi

Nairobi
Jiji
Nchi Kenya
Kaunti Nairobi
Serikali
Gavana Johnson Sakaja
Utaifa Nairobian (en)
Ukubwa wa Eneo
Jumla 696.1 Km²
Idadi ya Watu
Kaunti 4,397,073
Metro 5,541,000
Msongamano 6,800 /km2
Pato la Taifa
Jumla increase $90.1 bilioni (PPP)
increase $35.0 bilioni (Nominal)
Capita $18,958 (PPP) $7,291 (Nominal)
Kiashiria cha Maendeleo ya Watu (2024) 0.771 [1] (1st)
Maendeleo ya juu
Tovuti 🔗https://nairobi.go.ke


Sanamu ya Jomo Kenyatta.

Nairobi ni mji mkuu na jiji kubwa zaidi la Kenya, lililoko katika sehemu ya kusini-kati ya nchi. Jina lake limetokana na usemi wa Kimaasai "Enkare Nairobi," maana yake "maji baridi," likirejelea Mto Nairobi unaopita katikati ya jiji. Kwa idadi ya watu inayokadiriwa kuwa takriban milioni 4.5 ndani ya jiji na zaidi ya milioni 10 katika eneo la mji mkuu(Metro), Nairobi ni kitovu kikuu cha uchumi katika Afrika Mashariki. Inahudumu kama kituo muhimu cha kifedha, biashara, na usafiri, ikiwa na makao makuu ya mashirika mengi ya kimataifa, kampuni za kimataifa, na mashirika ya Umoja wa Mataifa, ikiwa ni pamoja na Shirika la Mazingira la Umoja wa Mataifa(UNEP).


Lugha zote za Kenya huzungumzwa Nairobi, lakini hasa ni Kiingereza na Kiswahili pamoja na Sheng.

  1. "Nairobi city County Hdi". Iliwekwa mnamo 2025-02-02.

From Wikipedia, the free encyclopedia · View on Wikipedia

Developed by Nelliwinne